المدة الزمنية 1:30

Spika Tulia Ackson avishukia vyombo vya habari

بواسطة Azam TV
189 مشاهدة
0
3
تم نشره في 2023/06/08

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson avishukia vyombo vya habari vinavyoa taarifa zisizo sahihi kuhusu shughuli za Bunge hilo hususani mjadala kuhusu ushirikiano wa serikali ya Tanzania na Dubai kwenye kuendeleza bandari. #AzamTVUpdates #AzamNews #BungeTanzania #UwekezajiBandarini

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0