Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ameipongeza Tanesco pamoja na Wakala wa Nishati Vijijin (REA) kwa kuleta mapinduzi makubwa ya umeme nchini huku akieleza namna walivyoweza kupiga hatua ukilinganisha na mwaka uliopita.
#AzamTVUpdates #AzamNews #TuliaAckson #Umeme #JanuaryMakamba