All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter https://twitter.com/TimesFMTZ and on instagram http://instagram.com/timesfmtz#
@zaharasayyid5724منذ 4 سنواتWaambie kakaaa huwa hawakumbuki walipotoka
@
@tabumduma33منذ 5 سنواتKhaaaa yaani wapo wazalilishaji kisa hawara baba 1
@
@mwadawabekwa3695منذ 7 سنواتMwanaume lijali aliyefunzw na mamake utamuona tu kaka kumbuka upo juu nakwambia 100% wanaume wengi washamba sana wakikipata pesa wanajiasau 7
@
@messinakidodi579منذ 5 سنواتWape maneno ..ii message n ya wale wanaume wanaojisahau wakipta hela .chamba ao shenzy 3
@
@TanzaniOmanمنذ 5 سنواتhahahaaaaaaaa nimecheka mpaka bac maan umenilenga brother 2
@
@elishangoma8235منذ 4 سنواتDuh jamaa hana nukta maneno yanaporomoka kama yame dunguliwa 1
@
@zahramunir8596منذ 6 سنواتMh..yote hayo yapo, hebu pasua huo ukweli.. 1
@
@jesscahmshana5104منذ 6 سنواتSura imekupauka ka mizani ya chalinze loh
@
@abdulatifmoxamed8047منذ 4 سنواتNgoja uone bado mtoto mdogo wewe unaongea kama huna experience ya maisha yote unayoongea kuna wanaume yamewakuta kufanyiwa na wake zao 1
@
@user-ot3ht3qd2gمنذ 4 سنواتUmeyamaliza baba wewe.naskia chozi.. linataka kunitoka.umenikumbusha.mateso nmepitia..lkn najua mungu yuko.
@
@lisajackson5867منذ 5 سنواتhahahaa dr kumbuka sku y arus yngu lzm uw mc wangu nakupendaga san ww kaka point 1
@
@hollynationproductions6326منذ 6 سنواتhuyu kaka nampenda hatari dah kwakwel waambie
@
@jainaboman8952منذ 5 سنواتW aambiee wamezidii kujipaisha wakiwa nje hujifanyaa watunzaji lakini Hawana moja Wala Kumi namoja wapashee
@
@aishasaid5702منذ 5 سنواتWaliodislike ndo hao yanawahusu hadi mawaidha wanadislike
@
@najathyrashidy57منذ 6 سنواتkawagusa ndio maana mwasema sio mwanaume lenu ilo
@
@yolakahmathews6913منذ 6 سنوات"Mashavu kama vile unaumwa safura" LOL
@
@hawaally8234منذ 5 سنواتKumbuka umenikosha yani wakipata pesa hawasikii hawajali mwisho utaskia we mchafu wakat hata ela yakusuka nywele za 1000 zinamshinda mtu unapaka mafuta yakula je utanukia saa ngapi kumbuka wachambe labda wataelewa 1
@
@fasterwalker1464منذ 5 سنواتHuyu Ni shoga nini Chogo ka mzinga wa gongo kah nimekubali
@
@fatmajuma5061منذ 7 سنواتumenikosha funguka uso umempauka kama mizani ya chalinze ha 1
@
@mariamissa4186منذ 6 سنواتKwamwanaume mwenye akili atalifanyia kaz wacha mie nitafute badae niishi kwa raha
@
@edwardsichilengwe2330منذ 5 سنواتumepauka uso kama mizani ya chalinze, hili dongo linanihusu walahi.
Mwenye akili atalifanyia kazi 5
Chogo ka mzinga wa gongo kah nimekubali