MAGUFULI Amjibu MBOWE - "ETI Nipo CHATO, Ndio NITAZIKWA Huku, NIMEAGIZA Wasilipwe POSHO"
Rais Dkt. John Magufuli amemtaka Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Mwigulu Nchemba kwenda kufanya uchunguzi wa kina kwenye maabara kuu ya taifa kutokana na kubainika kwa majibu yanayoonesha kwamba sampuli zilizochukuliwa kutoka kwenye fenesi, mbuzi, kondoo na ndege, kutoa majibu yanayoonesha kwamba zina Corona.
Rais Magufuli ameyasema hayo wakati akimuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, Balozi Dkt. Augustine Mahiga ambaye alifariki dunia jana na kuzikwa leo nyumbani kwao mkoni Iringa.
Rais Magufuli ameendelea kuwasisitiza wananchi kwamba wasiogope na kuwataka viongozi wa dini kusimama imara katika kipindi hiki kigumu.
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
iOS:https://apple.co/38HjiCx
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
http://bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
http://bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
http://bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
http://bit.ly/exclusive_interviews