ukhty ayman ni haafidhul Qur,an juzuu 10 na Nimiongoni mwa washiriki walio shiriki ktk mashindano ya Qur,an ya vyuo vikuu na Kati tanzania
ukhty Ayman anaelezea safari hiyo ya ushindi ktk mashindano hayo
pia Amewashauri Wanawawake wote kukisoma kitabu kitukufu cha Qur,an na ikitokea fursa ya mashindano ya qur,an wasisite
Ungana nasi ktk mjadala huu
pia Usisahau kusubscribe cmment -like -kushere
ahsante
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 11
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Ukhty Ayman Mshindi wa Mashindano ya Qur,an ya vyuo vikuu Tz: