المدة الزمنية 9:25

Ukhty Ayman Mshindi wa Mashindano ya Qur,an ya vyuo vikuu Tz

بواسطة Seyfullah Online Tv
460 مشاهدة
0
8
تم نشره في 2021/05/31

ukhty ayman ni haafidhul Qur,an juzuu 10 na Nimiongoni mwa washiriki walio shiriki ktk mashindano ya Qur,an ya vyuo vikuu na Kati tanzania ukhty Ayman anaelezea safari hiyo ya ushindi ktk mashindano hayo pia Amewashauri Wanawawake wote kukisoma kitabu kitukufu cha Qur,an na ikitokea fursa ya mashindano ya qur,an wasisite Ungana nasi ktk mjadala huu pia Usisahau kusubscribe cmment -like -kushere ahsante

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 11