Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha Jonathani Shana amesema kuwa kazi yake ni kulinda wananchi na mali zao muda wowote hata wakati wa tendo takatifu la ndoa na hata yeye endapo atapigiwa simu usiku na yuko katika kazi hiyo ataacha na kwenda kutoa ulinzi kwa mwananchi
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 33
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Cheki za Mbwembwe RPC Arusha akimtambulisha JPM kwa wananchi: