المدة الزمنية 5:32

MAGOLI: MBEYA CITY 1-2 SIMBA SC (TPL - )

بواسطة Azam TV
420 822 مشاهدة
0
1.2 K
تم نشره في 2019/05/03

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ilopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Wenyeji Mbeya City ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 22 kupitia kwa Iddy Selemani ‘Naldo’ kabla ya Simba kufanya mabadiliko na kurejea mchezoni kipindi cha pili wakipata mabao mawili kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 68 na Meddie Kagere dakika ya 85. Matokeo hayo yameifanya Simba ifikishe pointi 75 katika michezo 29 iliyocheza ikiwa na pointi tano nyuma ya wapinzani wao wa jadi Yanga SC wenye pointi 80 katika mechi 34 huku Azam wakiendelea kubaki nafasi ya tatu na pointi zao 66.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 246