@AbdulAbdul-pr9qeمنذ 4 سنواتmie ni muislam ila huyu mchungaji ni mfano wa kuigwa na wachungaji wote, mafundisho yake anafundisha hadi wasiokuwa wakristo, binafsi namuelewa sana MGOGO 50
@
@kevokipanya4808منذ 4 سنواتmtumish Amen kwel unayo sem naumen fumbua sasa asnt mtumish mungu asid kukup upeo wakutufundish sisi kondoo wako 2
@
@marketphone6353منذ 4 سنواتamina na mm namuerewa san mungu awe naye na ampe miaka 20000000000000 5
@
@asentusodhiambo9621منذ 4 سنواتBwana Yesu apewe sifa, tunashukuru Sana mafunzo ya dharura tunaiyoipokea 1
@
@lucasleonard5290منذ 4 سنواتNime kufuatia sana mchunguji,mahubiri yako yapo tofauti sana wewengine,waleee mahubiri yao ni yamaari 2
@
@sophiemulebinge3350منذ 4 سنواتMafundisho aya Yana tujenga saaana. Mungu akubariki baba. Nakufata, nikiwa Congo 2
@jaclinsimon9999منذ 2 سنواتAsante ubarikiwe maana najua utafanya wanaume wengi
@
@brigithaassenga5191منذ 4 سنواتNi kweli baba nikikumbuka mapito niliyopitia Mungu mwenyewe anajua kwa sababu yeye ndo aliyenipigania; Asante Jehova shama kutupa Mchugaji mgogo. 2
@
@esperancekavira8548منذ 2 سنواتMungu akupee maoni zaidi na zaidi mchungaji
@annamrima5507منذ 4 سنواتAmeen mchungaji mungu akubariki na akuinue zaidi 1
@
@bahatimmependezamwanginda5202منذ 4 سنواتKupitia mahubiri yko wengi wanaponywa, wanaosema husomi maandiko wanakuonea wivu Achana nao, piga kaz baba songa mbeleeee 1
@
@nyaxx38منذ 3 سنواتAma Kwa kweli neno hili ni la kweli kabisa. Mungu atusaidie
@
@irinewafula1557منذ 4 سنواتWaaaaaa!!!ukweli kabisaa unasema,, maji moto ya kuoga hahaha kweli mchungaji 2
@
@irenemacha7457منذ 4 سنواتJmn wanaume wanatunyanyasa sana Tukwila na Mumbai
@
@focuseric4109منذ 4 سنواتYan upo sahihi ata mm niseme ukwel wa mungu nilikua ivo lkn ss kwasababu yako nimebadilika yani nasema kwel yamungu kasoro tu kumuamsha asubui lkn mengine nimo na nungu anisamehe. 2
@
@eliasmsese7694منذ 4 سنواتYes bshop Daniel mgogo nakbal Sana mahubili yako bless 1
@
@jamessila3219منذ 2 سنواتSasa Kama maisha ya doa ni hivi nitaoa
@
@christinekituyi9826منذ 2 سنواتIle hekima uko nayo pastor si ya kawaida
@
@josephineabedi8100منذ 4 سنواتUwambiye wale wa baba walisha tutesa wala hawajuwe kuomba msamaa kama wamekosa
@cheiknamouna2058منذ 4 سنواتWaambie tu baba ili usije ukaulizwa kwa nini uliona ukanyamaza 1
@
@irenemacha7457منذ 4 سنواتNikweli mchungaji mwanaume anakuacha na mimba ya miezi 9 bila hata huruma anasafir kwenda kula bata anakuacha unahangaika usiku kucha msaada anaokupa anakwambia id="hidden3" class="buttons"> ukiumwa usiku kamwamshe baba wa jirani akusaidie kwa sabbu ni rafiki yke ....وسعت1
@irenemacha7457منذ 4 سنواتNikweli mchungaji mwanaume anakuacha na mimba ya miezi 9 bila hata huruma anasafir kwenda kula bata anakuacha unahangaika usiku kucha msaada anaokupa anakwambia id="hidden6" class="buttons"> ukiumwa usiku kamwamshe baba wa jirani akusaidie kwa sabbu ni rafiki yke ....وسعت1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MCH.DANIEL MGOGO - MCHUNGAJI UNAAGIZA POMBE ,KUMBE UNAYEMWAGIZA MSHILIKA WAKO:
Nakufata, nikiwa Congo 2
Achana nao, piga kaz baba songa mbeleeee 1
Lakini heri akuambiaye kweli ukakasirika kuliko rafiki anaye kudanganya na ukapotea miondoko 2