المدة الزمنية 21:39

Yanga nusura iumbuke mbele ya Mbeya City 1-1

بواسطة Azam TV
124 686 مشاهدة
0
361
تم نشره في 2020/02/11

Yanga SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa Uwanja wa Taifa. Bao la kujifunga la Lamine Moro limeitanguliza Mbeya City kabla ya Bernard Morrison kusawazisha kwa kichwa dakika ya 76, kwa krosi ya Juma Abdul. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 74