@linaschannel3769منذ 3 سنواتSamahani nimesoma pft sanawari na sijafanikiwa kupata cheti mafunzo yalisitishwa kwa sababu ya ugonjwa was Corona na tukaahidiwa kutumiwa ujumbe mfupi id="hidden1" class="buttons"> kwa ajili ya kurudi kumalizia mafunzo lakini ndo ikawa kimya mpaka leo hakuna cheti Wala t-shirt na kwenda chuoni kuulizia nikaambiwa mmefunga hapo nikashangaa zaidi.natumaini utanisaidia ....وسعت
@
@adelarogath6472منذ 3 سنواتAsante sana kaka wewe sio mchoyo mungu akubariki 3
@
@giftshedrack9756منذ 3 سنواتUbarikiwe Sana,nimeongeza ujuzi kwa kwakweli
@
@veronica01magesa40منذ 2 سنواتDah jmn umetoa elimu nzuri ubarikiwe sana tunaomba uendelee kuwa msaada kwetu
@
@teclangalale9235منذ 4 سنواتAsante,, unafafanua vizuri Bila uchoyo
@
@gloryaugustine9464منذ 4 سنواتCaustic nikishaloweka labda km imekuwa nyingi na imebaki inaweza kudumu kwa muda gani?? 2
@
@marymnzava1786منذ 3 سنواتSamahan nauliza hayo malighaf yanapatikana katika Maduka gan
@
@fasahaproductstv638منذ 4 سنواتAhsante kwa ku2pa ujuz huo.Mbn caustic solution hkuiwek kwa mda baad ya kuiandaa? Nadhan kuna hatar ya sabun kuwasha hyo 1
@
@quranismyheal9761منذ 3 سنواتElimu nzuri sanna umetutupa mungu akulipe
@
@mamajryani4669منذ 3 سنواتSAmahAn maduka ya hzo marigafi yanapatikana wap kwa hapa dar
@
@esterest4338منذ 3 سنواتM nataka unisaidie jinsi ya kuweka vipimo sijakuelewa
@
@ellenkamanzi3505منذ 3 سنواتJe kama sitaki iwe yarangi yamaua naweza kuacha kuweka rangi nikaacha tu ikaganda yenyewe bila langi?
@
@backhome6667منذ 3 سنواتKwa uwiano huo faida inapatikanaje mwalimu?
@
@duoxmasisa6529منذ 3 سنواتMimi hii ratio 1:4 siielewi kabisa,nahisi hii sabuni haitakuwa bora kabisa kwanini isiwe 1:2 + silicate+glycerine? Mkuu?
@
@gracebenjaminnapokeakatika9565منذ 2 سنواتSir nilisoma kwako ukiwa huku mbeya lkn ulisema tunaweza kupata vifaa vya kufyatulia sabuni lkn jins ya kukupata hujaweka namba yako ili tufate mashine hiyo maana kukata limekua tatizo
@
@silasjoseph5305منذ 4 سنواتAhsanteeeee saaaaana swali lagu ni kwamba hizo chemicals zinapatikana wapi na kwa Bei gani? 1
@
@joycewanjiru9546منذ 4 سنواتmungu akubaliki kwa mafudisho yako mazuri alafu kuna mahali sijaelewa nikitaka kutengeneza 10litres ya maji nitaweka costic kiac gani na mafuta kiac gani pliz nijibu.
@
@paulinajohn5911منذ 2 سنواتMwl wangu,naomba msaada,nakufuatilia sana masomo Yako,umenifaa sana.ila natamani kuwa perfect zaidi,nisaidie vipimo vya sabuni kutokana na Lita 5 ya mafuta.natengeneza id="hidden4" class="buttons"> mara inakuwa ngumu,mara inakuwa laini sijui nakosea vipimo may be ,nisaidie tafadhali ....وسعت
@linaschannel3769منذ 3 سنواتSamahani nimesoma pft sanawari na sijafanikiwa kupata cheti mafunzo yalisitishwa kwa sababu ya ugonjwa was Corona na tukaahidiwa kutumiwa ujumbe mfupi id="hidden5" class="buttons"> kwa ajili ya kurudi kumalizia mafunzo lakini ndo ikawa kimya mpaka leo hakuna cheti Wala t-shirt na kwenda chuoni kuulizia nikaambiwa mmefunga hapo nikashangaa zaidi.natumaini utanisaidia ....وسعت
@
@paulinajohn5911منذ 2 سنواتMwl wangu,naomba msaada,nakufuatilia sana masomo Yako,umenifaa sana.ila natamani kuwa perfect zaidi,nisaidie vipimo vya sabuni kutokana na Lita 5 ya mafuta.natengeneza id="hidden8" class="buttons"> mara inakuwa ngumu,mara inakuwa laini sijui nakosea vipimo may be ,nisaidie tafadhali ....وسعت
مقاطع الفيديو ذات الصلة على JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA KIPANDE.. SIR WILSON: