Twimbe kwa shangwe na furaha, tuimbe kwa shangwe na furaha, Bwana ametufanyia makuu.
_
Umetungwa na Rev Dr. Sr. Bibiana Munini.
Umeimbwa na Sauti Tamu Melodies
Umetayarishwa na Martin Mutua Munywoki.
_
Ni wimbo wa kuingia kanisani/kuanzia ibada ya misa (entrance)
_
Usikose kutazama nyimbo nyingine za kwaya katoliki zilizopendwa na zenye umaarufu Kenya na Tanzania kama vile Nikupe nini Mungu wangu, sasa wakati Umefika, nitakwenda mimi mwenyewe, utukuzwe ewe baba, n.k.
Tazama pia nyimbo kutoka Tumshangilie Bwana kama vile Nimeahidi Yesu, Njooni Tumwimbie na Kumshangilia, na zaidi
#SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipenda
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 378
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Twimbe kwa Shangwe | Sauti Tamu Melodies | Mwanzo wa Misa | | Sr. Bibiana Munini: