please subscribe to this channel
Hii ni miujiza ya uumbaji wa mwenyezi Mungu nchini Tanzania
Daraja la Mungu ni miongoni mwa uumbaji wa Mungu wa maajabu chini Tanzania,
ni daraja lisilojengwa na binadamu Yeyote yule lenye miujiza mingi inayotokea kwenye daraja hilo
Pia nchini Tanzania kuna ziwa linaloakisi mwomekana wa bara la Afrikana yaani ni kama bara la Afrika limechorwa kupitia ziwa hilo
Tazama video hii hadi mwisho kujionea miujiza yote hii
usisahau kusubscribe channel hii @gudmademedia