المدة الزمنية 1:42

Samatta atua bongo kuivaa Burundi, Afunguka sababu za kuondoka Aston Villa na kutimia Fenerbahce.

بواسطة Vamba Tv Online
250 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2020/10/06

#Samatta #TaifaStars #Tanzania #Burundi Nahodha wa timu ya taifa "Taifa Stars" Mbwana Ally Samatta, @samagoal77 amewasili nchini alfajiri ya leo akitokea nchini Uturuki kwa maandalizi ya mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa katika uwanja wa Mkapa siku ya tarehe 11 Oktoba, 2020. #vambatv_updates

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0