@lydiamutheu3924منذ 3 سنواتKakika nimesubuka sanitakutafuta na mungu hakuzindishie kuzijua nakuzielewa zaidi niko mbali sijui wapatikaniwa sehem gani
@
@mohammediddmdede9610منذ 2 سنواتAsalamu alaykum Dk Nimeota nanunua mbuzi mwenye mtoto
@
@mwanahamisially5234منذ 5 سنواتKweli jman pamoja na dawa zot inada pia ndo Jambo lakwanz 2
@
@djyondergigi1027منذ 3 سنواتA aleikum Nimeota mbuzi nime mdungu na alikufa mbuzi tena mwenyewe ni kipofu . Na Rangi mweupe na rangi nyingine kama tatu . Ndiyo nini Shukran
@fetychina7956منذ 4 سنواتNiota nyoka Malaysia nyingi tu namwisho wa siku nyoka aliingia ndani sijui aliingiliawapi nika muua 1
@
@saadahassan1437منذ 4 سنواتNiliota nyoka yupo juu ya kabati mkubwaaa nikimuangalia anajificha tn ni usiku nilishtuka ata kuwasha taa naogopaa 1
@
@jobmutua2204منذ 2 سنواتDr. Mimi niliota nikichinja mbuzi. Nilichinja mbuzi mbili Kwa kukata shingo na kutoa ngozi, wa tatu akanishinda kumshika vizuri ni mkate shingo,,, pls nisadie nijue maana yake
@
@josephdullah3766العام الماضيNimeona ndoto navuka mto nikiwa na mbuzi na ng'ombe pamoja maana yake nn
@
@user-me6gn4gi4vمنذ 4 سنواتShekhe mmi niliota ngo, mbe wengi wana kimbiza watu na mmi pia nilikuwa hapo pia mmi nakimbia
@boramwanjemi2216منذ 2 سنواتAsallam wallekumu ukiota mbuz wanapita halafu unawarusha madong'o ili wasile mimea, Tena mbuz hao kunamtu ndie amewafungulia wewe nikama waseedia wasile hapo kwenye mimea.
@
@annaharry4997منذ 4 سنواتMimi huwa naota Mara kwa Mara napigana na ng'ombe, siku zingine namshida Mimi na siku zingine namkimbia alfu najificha, namba nisaidie maana yake 1
@
@marynyange8478منذ 4 سنواتNimeota nikila maguu ya mbuzi hii yamaanisha nini shekh?
@
@miner.johnmasuka7621العام الماضيDk nimeota mbuzi hana kichwa tafsiri yake nini
@
@mchambuzi9089منذ 3 سنواتAsante. Je ukiota umekimbizwa na ng'ombe, na ww ukafanikiwa kuingia nyumba flan nakujifungia ndani inamaanisha nini?
@
@peterwahome489منذ 2 سنواتNa ukiota nyoka mweusi mkubwa unataka kumuua then anaona Yule mnyama wa kuishi Kwa mchanga anamfata kumla na kuzama ndani ya shimo na hivo ndivyio atapotea maana take ni gani
@caleenmsabilwa4146منذ 4 سنواتJmn mm huwa naota ng,ombe Mara nying in SK niliota Niko kwenye vita sasa ioe nakimbia mbele nikakutana na ng,ombe weng nikasbl wakapita ndo na mm nikapita id="hidden4" class="buttons"> sielew non maana yake SK nyingne nikaota watu wanakuja nyumbn kama kutoa mahali wapo na NGO,MBE mkubwa mnene na m sijaolewa pk Leo sijui non maana yake ....وسعت
@
@fadhilinzota3479منذ 3 سنواتNimeota nipondani haponje panazizi lang' ombe nisubiri nduguyangu anapika ugali tule mm niposebleni kwenyebusati nimepumzika
@
@colethampepo5280منذ 4 سنواتNmeota mbuzi amechomwa (ndafu) maana yake n nini
@
@paulinarungu3328منذ 3 سنواتMimi ninaota Mara kwa Mara kuwa mbuzi wangu kazaa mapacha na huyo mbuzi ni kweli ana mimba na mm pia ni mjamzito maana yake ni nn
@
@malususiri4889منذ 4 سنواتUkiota unakata kuni mlimani nini maana yake
@
@naomilucas3229منذ 4 سنواتnimeota: ng'ombe katoka kwenye biaashara yangu katokomea sikumuona Tena,, ila hapohapo nikaota nyoka weusi mkubwa na mdogo wameingia ndani ya frem yangu ya biashara, naomba jibu
@
@sharifatabook4697منذ 4 سنواتNa ukiota ukikimbizwa na ngombe alafu wewe unapanda kwa mlima ngombe anapita nn maana yake?
@
@boliboembe6212منذ 3 سنواتDoktari ukiota mbuzi amezaa mapacha nini maana yake
@professormpakistanimweusi5766منذ 4 سنواتNa Je Sheikh mtu ukiota unafuga Mbuzi na wanazaa wapo wengi tu katika zizi. Hii nayo ni Vp Sheikh?????0
@
@martapatrick2687منذ 3 سنواتShekhe Mimi nimeota ng,ombe mbuzi wanakamuliwa maziwa mengi nawana toa hayo maziwa kila ng,ombe anakamuliwa ndoo moja
@
@user-ij2bf8of8hمنذ 5 سنواتAsante sheikh kwa tafsiri za ndoto. Sheikh mimi niliota nakimbinzwa na nyoka na alikuja na mtu lakini sikumjua huyo mtu na mwisho akaningata.nifanye nini sheikh tafadhali namba kujua 1
Nimeota nanunua mbuzi mwenye mtoto