المدة الزمنية 2:17

BAADA YA TAKUKURU KUMSAFISHA; Livingstone Lusinde 'afoka'

بواسطة Daily News Digital
900 مشاهدة
0
6
تم نشره في 2020/07/16

#LivingstoneLusinde #Mtera #UchaguziMkuu2020 #Dodoma #Takukuru Baada ya TAKUKURU mkoa wa Dodoma kutoa taarifa dhidi ya uchunguzi wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mtera Livingstone Lusinde maarufu kama ‘Kibajaji’ kuwa hakukua na Ushahidi wowote dhidi ya tuhuma za yeye na wenzake 20 kutojihusisha na utoaji wa rushwa, Mwenyewe amefunguka na kudai kuwa waliodhani kuwa jimbo wangelipata kirahisi sasa wanao mlima mkubwa wakupanda Zaidi ya Kilimanjaro @DailyNewsDigital

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0