المدة الزمنية 4:3

DC GONDWE ALIVYOKABIDHI OFISI, DC JOKATE AFUNGUKA MIMI SIO MGENI SANA TEMEKE, NILIKUA MISS”

بواسطة Millard Ayo
34 644 مشاهدة
0
145
تم نشره في 2021/06/22

Baada ya Rais Samia Suluhu kuteua na kufanya mabadiliko kwa Ma-DC aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Temeke Godwin Gondwe ambaye kwa sasa amehamia Wilaya Kinondoni amekabidhi ofisi kwa Jokate mwegelo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe kwa sasa ni mkuu wa wilaya ya Temeke.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 27