المدة الزمنية 6:34

HAPATOSHI 'John Heche' Awasha Moto Bungeni Kisa 'Ufisadi'

بواسطة Global TV Online
206 696 مشاهدة
0
630
تم نشره في 2018/02/02

Ni mkutano wa kumi katika Bunge la kumi nna moja, unaoendelea katika makao makuu ya nchi mjini, Dodoma. Kinachoendelea Bungeni ni kipindi cha maswali na majibu, ambapo wabunge wanapata fursa ya kuuliza maswali naa kujibiwa na wahusika akiwemo Waziri wa nchi, ofisi ya rais, Tamisemi , Waziri Jaffo pamoja na naibu waziri wake. Ambapo Mbunge wa Tarime, John Heche, amesimama na kuuliza kuhusiana na bei ya vitambulisho vya uraia vinavyotengenezwa na mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA), kwa kulinganisha na bei ya vitambulisho vya kupigia kura ambavyo anadai ndivyo vyenye gharama kubwa zaidi, lakini bei yake ni ndogo tofauti na hivyo vya Nida. Subscribe muda huu www.youtube.com/user/uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe /c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe /c/uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… /c/uwazi1 /c/uwazi1 /c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli ..

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 75