@rahmaramadhan9773منذ 4 سنواتWeraaaaaaaaaaa akaaaaa zenji mambo nimotooooooooo
@
@letshikuku39منذ 4 سنواتHongereni sn Wazanzibar Mungu awatangulie kwa hili tupo pamoja tunawapenda sn. From Dsm 1
@
@nassormussa4090منذ 4 سنواتWaaaaawaa! yesu wa zenzi huyo karibu mungu mama kule tz yupo mungu baba hapa tena wapinzani wasahau kwani miungu miwili ikikutana ni ushindi tu miujiza id="hidden1" class="buttons"> mitupu na tunaamini hapa mpaka2035 kazi tuuu hao wapemba watabaki vinywa wazi sasa ni wakati wa kupata baraka kutoka kwa hawa mungu wetu mkitaka kushindana na cc hamtuwezi. ....وسعت
@
@amanimkambala6240منذ 4 سنواتApo ingekuwa msafala wa maalim sefu vituo vingejaa na kes zisizokuw na kichw wala mguu 10
@
@azmiabdallaazmi5931منذ 4 سنواتHizo shangwe tu subirini 25/10/2020 ndio siku ya majubu 2
@
@peterkailembo4101منذ 4 سنواتMimi ni Magu tu hapa kanipa hamasa ya kuipigia kura ccm 3
@
@hilalhilal8400منذ 4 سنواتHAWA NI VIKOSI TU VYA SMZ. HAKUNA CCM HAPO. WAKIMALIZA AJIRA KISANDUKU KWA ACT 2
@
@elibarikikivuyo5946منذ 4 سنواتHapa angekuwa mpinzani maajabu ingeonekana mbona sioni watu hapo 2
@
@richboy1041منذ 4 سنواتNje wanakata viono alafu ndn wanaomba dua km so uchoko huu achen uhun ccm
@
@sirjunior1817منذ 4 سنواتHamjui kuna corona nyinyi muache huu mchezo 1
@
@marthaemmanuel3323منذ 4 سنواتKwan Zanzibar haina watu jaman mbona wachache sana 2
@janeobure1859منذ 4 سنواتWapinzani wakifanya hiv tu ni kesi Lakin kwa CCM ni ruksa 3
@
@pachamalota4455منذ 4 سنواتWamekosea kumtia kwenye gari ambayo haina paa ya kufunuka 1
@
@hilalhilal8400منذ 4 سنواتSASA NA HAWA POLISI VIPI BAADA KUWAKAMATA WACHOCHEZI NDIO KWANZA WANAWALINDA HAWA CCM WACHOCHEZI 3
@
@moussadjanffar1900منذ 4 سنواتIci 6 lits que comprend mot Diana tu as coupé les canadairs à Cagny Babou il y aura mini fois quoi Comores ligne 3 na combien quoi mon cool à choco on doit couper racine game c'est cool là où c'est quoi
@tamemahmad9902منذ 4 سنواتNaona mh. Amani hajavaa sare ya CCM Kisha peke yake kavaa barakoa au Corona imeisha huko?
@
@alesnema9596منذ 4 سنواتUyu anapoteza muda tu magufuri baba lawo wara hatutachaguwa tunamupa tu 1
@
@saidmohd5090منذ 4 سنواتAma kwel ssa hatuna tena letu zanbar kuwa ssa rais anatoka bara kuja kuwa uraisi zanbar janani wazanbar tumefumbwa macho bado hatujaamka
@
@janeobure1859منذ 4 سنواتCCM hata wakiweka mtoto wa kikwete kuwa Rais watashangilia tu yaani hiki Chama kitajimaliza chenyewe. Watu wamerudia usultan. Endeleeni kujimaliza.
@
@shibilitimedia3312منذ 4 سنواتAshapita tayari mimi niko Bara Mwanza-Tanzania 2
@
@ms.independent8934منذ 4 سنواتhapo shkamo hapitii ghoooo ata ambulia mafuwaaa
@
@ms.independent8934منذ 4 سنواتMWINYI anapeta kwakishindo kwenye kura 2
@
@khamisnassor5833منذ 4 سنواتTutakapo mpokea wetu mseme maandamano au uchochezi au amani itavunjika police hawatoshi 1
@shibilitimedia3312منذ 4 سنواتNaomba kwa anaejuwa kufumbua kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuri ambayo mwandishi ameeleza kwamba alisema "naomba wazanzibar mnichagulie mtu ambae nikifika stamwamkia " tafsri yake niipi msaada sjaelewa 1
@
@nassormussa4090منذ 4 سنواتWaaaaawaa! yesu wa zenzi huyo karibu mungu mama kule tz yupo mungu baba hapa tena wapinzani wasahau kwani miungu miwili ikikutana ni ushindi tu miujiza id="hidden4" class="buttons"> mitupu na tunaamini hapa mpaka2035 kazi tuuu hao wapemba watabaki vinywa wazi sasa ni wakati wa kupata baraka kutoka kwa hawa mungu wetu mkitaka kushindana na cc hamtuwezi. ....وسعت
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MAELFU YA WATU WALIVYOMPOKEA DR HUSSEIN MWINYI MGOMBEA URAIS ZANZIBAR: