JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA AFRIKA
Changamoto kubwa inayolikabili bara la Afrika siyo umaskini , wala siyo uhaba wa rasilimali bali ni utumwa wa fikra. Fikra zetu zimekamatwa kiasi kwamba hatuwezi kuwaza nje ya misaada.
Heshima na ukarimu tunaompatia mzungu ni mkubwa kuliko waafrika wenyewe.Ukarimu wa mzungu unaanzia anapofika kwenye viwanja vyetu vya ndege.
#UKOLONIMAMBOLEO
/playlist?list ... /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
@kipkoechkosgei104منذ 5 سنواتAs I always say. Our problems start with us. The day we will accept we are the cause of all our problems is the day we will move forward. Ni kawaida ya watu wa zembe kulaumu wengine 50
@
@kirujam628منذ 5 سنواتAsante kaka kwa video yako nzuri. Ninaunga mkono na mengi ulichoyasema. Lakini kuna jambo moja ambalo sijakubaliana nalo, na hiyo ni kulinganisha hali id="hidden2" class="buttons"> ya maendeleo ya Afrika na ya nchi kama Amerika, Malaysia, Singapore na kadhalika. Nchi ya Amerika haikufikia maendeleo kwa sababu ya ''maono'' ama ''founding fathers'', la! Amerika ni nchi iliyonyakuliwa kutoka kabila ya ''Red Indians'' naye ilijengwa kwa jasho na damu ya ndugu zetu, yaani ''Black Americans''. Bila huo unyakuzi na bila utumwa wa ndugu zetu, Amerika ingekuwa nchi ya kawaida au hata ya umaskini. Nchi kama Singapore na Malaysia hazina rasilimali kiasi cha kulinganishwa na zetu. Afrika kina mali nyingi chini ya ardhi yake na mali hii inavutia wakora mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Wakora hawa, sana wakishirikiana na viongozi wetu bure, wanatupangia vita na kutuletea magonjwa. Tunaposhughulika na majangwa mbalimbali wao wanelendelea kutupora. Kwa hivyo shida kuu ya Afrika ni mali yetu nyingi! ....وسعت5
@
@dicksonsisya349منذ 5 سنواتI like this News Team and the main narrator Ananias its the best and of its kind. Thank you so much Team Global and Team Ananias. How i id="hidden3" class="buttons"> like your voice and all the education you offer us through this channel. Please keep it up my brother from another mother. Dickson Sisya - From Zambia, DRC and Mauritius. ....وسعت1
@
@classicnaufal9100منذ 5 سنواتIkiwa unapenda kazi ya ananias like hapa 202
@
@quentinotieno7103منذ 5 سنواتI salute u man. I wish Africans could learn from ur truth narations
@
@ntakirutimanaabdulazizi7778منذ 5 سنواتAsante sana bwanamkubwa Mpagaze .İla ingekua bora otoe video hii kwachini İtafsiriwe mkıngereza Pia nakifaransa ili mataifa Mengine waeze elimika pia haswa kwawale wasio skia na kuelewa kiswahili 7
@
@veelusaمنذ 5 سنواتHii makala safi sana. Ichapishe tengeneza kitabu inahitaji marekebisho kidogo. Lakini imetulia sana hongera san 34
@
@Cesar-xr9meمنذ 5 سنواتpoint apo.tunanunua majembe ulaya wakati babu zetu ndio waliogundua chuma hahahah 42
@
@abdimaulid5569منذ 5 سنواتDaaah mwanangu katika siku umenishawishi kuzidi kukuelewa ni hii story maana yake imegusa maisha ya bara la Africa god bless Africa kama tuko pamoja naomba likes zenu. 1
@
@aishandayishimiye5127منذ 5 سنواتAsante leo nimesikiya yenye nilikuwa ubongo wangu unahitaji chakula cha akili asante sana 12
@
@ototek8037منذ 5 سنواتBado sana kunamijitu imesoma na bado utaskia wazungu eti ni watetez wa haki za binadam..tuspoandamana au kufanya mikutano kila siku watatutenga.pumbavu 25
@
@azizacleny8677منذ 5 سنواتsema kaka upo vzr wallah napenda kuskiliza vipindi vyako duuuh najikuta nainjoy ungekuwa mwalim mm ningefaulu historia wallah ILA HAKIKA WAAFRIKA TUSIPO JIELEW TUTAKUWA WATUMWA WAO MM NMEKATAA KUWA MTUMWA 2
@
@daudintanga1521منذ 5 سنواتUnaweza sana nimemaliza historia karibu zote na najifunza mengi unaweza sana 11
@
@rihannarose1731منذ 5 سنواتTunaomba nakala ziendelee na kwenye TV ndugu zetu nao wapate kusikiliza angalau wajuwe uhalisia wa mambo nzur 12
@
@UlimwenguMilengaمنذ 5 سنواتTunaomba Africa tuwe United, mganda akionekana Tanzania anafungwa. Sio maisha ayo wote ni waafrica. 5
@
@acleymangu9020منذ 5 سنواتBraza kunywa unachotaka alaf nitumie bili yako dah!! We jamaa n nomaa sana. Embu tuandikie kitabu kuhusu haya maisha aisee ila pia ukitengeneza id="hidden9" class="buttons"> CD itapendezaa sana ili hawa watoto wadogo waendelee kusikia haya labda wanaweza kutusaidia tubadilike! Duh!! ....وسعت2
@
@chidiomari.65منذ 5 سنواتAsante Kwa huduma yenu,Mungu awabariki Sana. 3
@
@josephatkashendwa1177منذ 5 سنواتGonga like.Kaka yangu kutoka mama mwingine."Africa ina umri mkubwa lakini bado inavalishwa nepi" 2
@
@mohammediallykaboza5862منذ 5 سنواتAise edga mungu akulinde makala zako zinatisha sijui ututengenezee vitabu! 8
@
@robertmasatu4029منذ 5 سنواتIko vizuri iyo ndugu yangu Africa inahitaji miti shamba tofauti na ile ya wazungu 2
@
@deadcrushمنذ 5 سنواتKwa msimuliaji, Kazi yako unaipenda sana. Hasa sauti yako ni safi sana. Hongera. Binaadamu hakuwa nyani. Hakikisha unafanya utafiti na kuhariri jumbe zako kabla hujaliza la mgambo. 1
@
@imanivard1127منذ 5 سنواتUmezungumza ukweli sana tena sana,tunawafanya wao miungu watu mpaka tunachukia asili yetu, Mambo yao ya ajabu sisi ndio tunaona ujanja 2
@
@cascmvirile8687منذ 5 سنواتDaaah Aseee broo fikira zako kama ZANGU daah MUNGU akuongoze Mzee mana ukisema kweli wanakuzima kama analogia kwenda digital 19
@
@mzunguonlinetv9181منذ 5 سنواتNimesikiliza sana simulizi zako nikagundua .unatumia muda mwingi sanaa kujiandaa kabala ya kuanza simulizi .na pia nikagundua wewe ni moja class="buttons"> ya watu wenye upeo mkubwa sanaa wa kufikiri kabla ya jambo na nikagundua kuwa watu kama wewe wanaitajika sanaa katika nchi zetu izi .namalizia tu kwa kusema wewe unajua unachokifanya yaani wewe ni kichwa unatumia akili yako vizuri sanaa .napenda sana simulizi zako ANANIAS EDGER my brother from another mother . ....وسعت
@
@edsonmwaibanje129منذ 5 سنواتAhsante kwa simulizi hii, hakika wewe ni mwaafrika halisi na mzaleno wa kweli kaka, Hongera sana 1
@
@sagudanicasnicas2660منذ 5 سنواتTukiona viongozi wanaopambana ili tujikomboe wenyewe tunawaponda eti wantutesa 51
@
@olivercloud5597منذ 5 سنواتHongera sana kijana una mawazo mengi sana kijana. Umasikini wetu ume sababishwa na ubaguzi ambao tuko nao. Tu ache kwanza ubaguzi kati yetu sisi kwa sisi.
@
@enockyohana6856منذ 5 سنواتNaomba nishaur fungua group whtsap kisha liite harakat kwa MTU mweusi..tufunguan harakt nimuhim ili historian ibadirik tena uafrica ulindwe na kila mmoja 5
@
@masungadutta3823منذ 5 سنواتKaka Mungu akusimamie yani Mpaka Machozi yamenitoka. Inauma sana na ukweli siku zote hauburudishi Bali unaridhisha na huja na maumivu. 10
@
@venancemalima1181منذ 5 سنواتHongera na asamte,hata viongoz bora wamapotokea Afrika tunawaita dikteta.Inapendeza kukusikiliza. 2
@
@nissannicolas8397منذ 4 سنواتBaba nakupenda sana Natena nakufwata 100% Unasemakweli adui wamu afrika ni mu afrika Hataserekali zetu zingekuwa zinaku fwata kungekuwa mabadiliko
@
@enockyohana6856منذ 5 سنواتWazee wa zaman hawakuish wao Ila walituandalia sisi.ila sisi tunaharib vyote.ili wanao kuja wapamban wenywe..fid q alisema wanataman kutuangusha chini wanatukuta tumelala chini.. 1
@
@faridamkesso97منذ 5 سنواتHongera sana umeongea point sana hii ndio Elimu inayotakiwa kwa jamii maana kweli hatujitambui na hatujithamini 12
@
@gloirejoseph9408منذ 5 سنواتmimi mkongomani ila nahishi south Africa nakukubali sana Bro kwa story zako ohh my Africa 1
@
@abdulkarimhamissi3755منذ 5 سنواتJana nimeona marekan imemuwekea vikwazo balozi wa Zambia tanzania nikashindwa kuelewa 2
@
@ramadhanalfan6249منذ 5 سنواتNDUGU YANGU UNACHO SEMA KWELI NAUNAONA MBALI SANA ASANTE SANA 24
@
@thetriplesofbethlehem6095منذ 4 سنواتAsantesana kwa mafundisho mazuri mwalimu✊we are coming home soon
@
@rizikivincent9471منذ 4 سنواتMungu akubariki afrika tumetiwa akili finyo kujirudi kwenye usawa.wetu inakuwa shida na wanaoweza.kurekebisha ni viongozi wetu wa afrika nzima kuungana na kulifanyia kazi ili tatizo
@
@agnessestoni5631منذ 5 سنواتNaskia hasiraaaaaah vibaya mnooo Mung ameibariki Africa nawatu wake 2
@
@rajabkafuta3385منذ 5 سنواتkazi njema kaka. ushauri mzuri, tupunguze ufinyu wa kimawazo na kifikra Afrika.
@
@rasihamsangi8084منذ 5 سنواتMungu endelea kutufahamisha yaliyo ya kweli
@
@japhetkazeri7135منذ 4 سنواتKaka ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu.Wewe ni Mkombozi wetu
@
@humphreykajigili6866منذ 5 سنواتBro nakubali kinoma kaz ya kutoa ujinga kikubwa tufanyie kaz tunarudishwa nyuma na viongoz wetu pia 1
@
@eddokasanga6338منذ 5 سنواتdah tumejenga majeshi yenye nguvu badala ya uchumi wenye nguvu 13
@
@thobiassmollel2608منذ 5 سنواتBrother hongera sn.sijajua Ni lini watu weusi tutastuka kuheshimiana, kujikubali na kujitambua.never
@
@msonocollo9551منذ 4 سنواتasante kwa kumbea mama africa ukweli asante mungu akuwe uzidi kutuelimisha sisi wana wa afrika
@
@godfreymkanje5667منذ 5 سنوات"Babu zetu walifungwa minyororo shingoni..lakini sisi tumefungwa fikra hili ni kweli .natamani tuamke tulipo lala .TANZANIA ni nchi tajiri sana id="hidden17" class="buttons"> lakini rais akifanya maendeleo wengine wanampinga.sijui ni nini tumefichwa usoni petu .tunampinga raisi kwa kuipa kipaumbele lugha ya kiswahili ila waswahili sisi bado tunampinga.MUNGU inusuru africa ." ....وسعت2
@calhoun1750منذ 5 سنواتI hope everyone watch this video so people can change 7
@
@allysamba1695منذ 5 سنواتNakku bali sana bulaz salute kwako na mngu hakufanyie wepes katka mmbo yko
@
@geraldpetro7895منذ 2 سنواتUpo sawa kaka Bado hatujielewi utaifa unashinda tumebaki kuangalia mipaka wayaliyotugawa nayo. Israeli walikaa utumwani miaka 400 hata sisi Ipo siku tutajitambua tu.
@
@jumamkokota9484منذ 5 سنواتUmeongea maneno mazito sana kaka na yote yanamaana sana 2
@
@prochesslyimo4863منذ 5 سنواتHeri wazazi waliokuzaa.Na ashukuriwe Mungu aliyewapa maarifa haya 3
@
@khalifadaudi622منذ 3 سنواتNingependa sana maneno haya kama yangewafikia wakubwa wa nchi hii
@
@hermanstephenntabahungu5310منذ 5 سنواتKama ingekua inaruhusiwa kuilike hii video hata mara trillion ningefanya hivyo,,,,bigup boss kwa elimu makini na ya kizalendo
@
@bensonkimaro8892منذ 5 سنواتDah this is great na inasikitisha sana
مقاطع الفيديو ذات الصلة على JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA AFRIKA:
Nchi ya Amerika haikufikia maendeleo kwa sababu ya ''maono'' ama ''founding fathers'', la! Amerika ni nchi iliyonyakuliwa kutoka kabila ya ''Red Indians'' naye ilijengwa kwa jasho na damu ya ndugu zetu, yaani ''Black Americans''. Bila huo unyakuzi na bila utumwa wa ndugu zetu, Amerika ingekuwa nchi ya kawaida au hata ya umaskini.
Nchi kama Singapore na Malaysia hazina rasilimali kiasi cha kulinganishwa na zetu. Afrika kina mali nyingi chini ya ardhi yake na mali hii inavutia wakora mbalimbali kutoka kila pembe ya dunia. Wakora hawa, sana wakishirikiana na viongozi wetu bure, wanatupangia vita na kutuletea magonjwa. Tunaposhughulika na majangwa mbalimbali wao wanelendelea kutupora.
Kwa hivyo shida kuu ya Afrika ni mali yetu nyingi! ....وسعت 5
Thank you so much Team Global and Team Ananias.
How i id="hidden3" class="buttons"> like your voice and all the education you offer us through this channel.
Please keep it up my brother from another mother.
Dickson Sisya - From Zambia, DRC and Mauritius. ....وسعت 1
ili mataifa Mengine waeze elimika pia haswa kwawale wasio skia na kuelewa kiswahili 7
Sio maisha ayo wote ni waafrica. 5
Embu tuandikie kitabu kuhusu haya maisha aisee ila pia ukitengeneza id="hidden9" class="buttons"> CD itapendezaa sana ili hawa watoto wadogo waendelee kusikia haya labda wanaweza kutusaidia tubadilike! Duh!! ....وسعت 2
Mambo yao ya ajabu sisi ndio tunaona ujanja 2
Natena nakufwata 100%
Unasemakweli adui wamu afrika ni mu afrika
Hataserekali zetu zingekuwa zinaku fwata kungekuwa mabadiliko