المدة الزمنية 9:27

DC MWAIPAYA AWEKEWA KINYESI CHA TEMBO KWENYE MKUTANO TUJARIBU TUONE

بواسطة Millard Ayo
55 789 مشاهدة
0
248
تم نشره في 2021/07/08

Mkuu wa wilaya ya Mwanga Abdallah Mwaipaya amefika kwenye kata ya kwakoa wilayani Mwanga nakutoa vifaa vyakuwafukuza tembo ambao wamekuwa wakileta athari mbalimbali ikiwemo kuua Watu pamoja nakuharibu mazao Pamoja na hayo miongoni mwa vifaa vilivyokabidhiwa kwa Wananchu hao ni pamoja milipuko pamoja na kinyesi cha tembo kilichochanganywa na pilipili ambacho kimewekwa mbele yake ambapo wataalamu wameonyesha jinsi yakumfukuza tembo

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 66