المدة الزمنية 3:11

WAZIRI KIGWANGALLA AUMIZWA NA ZINJANTHROPUS Kwanini hatupati Wageni

بواسطة Millard Ayo
8 384 مشاهدة
0
46
تم نشره في 2019/01/20

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk.Hamisi Kigwangalla ameihoji Makumbusho ya Taifa kwanini hatupati wageni wengi licha ya kuwa na vivutio vingi ikiwemo Binadamu wa Kwanza ZINJANTHROPUS ambaye hakuna asiyemfahamu duniani.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 31