المدة الزمنية 53:8

BERNARD MEMBE: NI UCHAGUZI WA KISHINDO

بواسطة MwanaHALISI TV
95 258 مشاهدة
0
730
تم نشره في 2020/07/14

Waziri wa Mstaafu wa Mambo ya Nje nchini Tanzania, Bernard Membe amefanya mazungumzo maalum na MwanaHALISI TV na kuzungumza mambo mengi kuhusu siasa nchini pamoja na nia yake ya kutaka kugombea urais wa Tanzania kupitia chama pinzani mara baada ya kutimuliwa uanachama ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 470