Kwa muda sasa, hospitali ya rufaa ya Bungoma imekuwa ikishuhudia msongamano wa wagonjwa, haswa kina mama wanaofika kujifungua. Wodi za kujifungua kina mama mara nyingi zikijaa kutokana na idadi kubwa ya wale wanaofika kutafuta huduma katika hospitali hiyo. Lakini kama Mashirima Kapombe anavyoarifu, usimamizi wa hospitali hii umekiri hatari ya hali hii na kutafuta suluhu
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 3
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Hospitali ya rufaa ya Bungoma inashuhudiwa msongamano: