المدة الزمنية 2:31

Hospitali ya rufaa ya Bungoma inashuhudiwa msongamano

بواسطة Citizen TV Kenya
1 045 مشاهدة
0
5
تم نشره في 2021/06/02

Kwa muda sasa, hospitali ya rufaa ya Bungoma imekuwa ikishuhudia msongamano wa wagonjwa, haswa kina mama wanaofika kujifungua. Wodi za kujifungua kina mama mara nyingi zikijaa kutokana na idadi kubwa ya wale wanaofika kutafuta huduma katika hospitali hiyo. Lakini kama Mashirima Kapombe anavyoarifu, usimamizi wa hospitali hii umekiri hatari ya hali hii na kutafuta suluhu

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 3