المدة الزمنية 2:32

Wachimbaji wadogo Tunduru waiomba serikali kupeleka elimu ya ukataji wa madini

بواسطة Azam TV
1 849 مشاهدة
0
9
تم نشره في 2018/07/21

Wachimbaji wadogowadogo katika machimbo ya ngapa wilayani Tunduru mkoa wa Ruvuma wameiomba serikali kuachana na dhana ya kuamini kuwa wasomi pekee ndio wanastahili kupata elimu ya kukata madini.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1