المدة الزمنية 22:1

SABABU 7 ZA TANGAZO LAKO KUFANYA VIBAYA KWENYE MITANDAO YAKO YA KIJAMII

بواسطة Lazaro Samwel
361 مشاهدة
0
9
تم نشره في 2021/05/17

Please watch: "SIRI HII YA UFANYAJI WA MATANGAZO INSTAGRAM HAUTAAMBIWA" /watch/AkAm4eQykrvym --~-- Na wewe ni muhanga wa ufanyaji wa matangazo ambayo mwisho wa siku hakun faida yoyote ambayo unaipata? Umefanya sponsoring Ads au umeshare tangazo kwenye platform mbalimbali lakini hakuna pia matokeo mazuri uliyopata? Hakikisha unapitia kwa umakini somo hili na ushare na marafiki zako pia. #biasharamtandaoni #uzamitandaoni #biasharanaujasiriamali

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 4