المدة الزمنية 5800

Rais Samia: Niko tayari kusamehe na kuanza ukurasa mpya

بواسطة BBC News Swahili
10 236 مشاهدة
0
59
تم نشره في 2021/12/15

Rais Samia ameyasema hayo katika mkutano wa wadau wa kisiasa wanaojadili hali ya demokrasia nchini baada ya kuombwa na mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia nchini Zitto Kabwe kumsamehe mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anakabiliwa na mashitaka ya ugaidi na uhujumu uchumi. #bbcswahili #tanzania #demokrasia

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 7