Mchezaji wa zamani Klabu ya Simba SC Musa Hassan Mgosi ambae kwa sasa ni Kocha mkuu wa Timu ya Wanawake Simba Queens amezungumzia maisha yake ya soka alivyokuwa ndani ya Klabu ya Simba baada ya kusajiliwa akiwa kijana akitokea shule ya Sekondari ya Makongo na kujiunga na miamba hiyo ya soka Tanzania na hakuweza kupata nafasi ya kucheza kwa wakati ndani ya kikosi cha Simba kutokana na Umri aliokuwa nao na wachezaji wenye majina makubwa aliowakutana ndani ya Simba SC.
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
Youtube: /c/HZBTV
Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo
Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo
Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo
Google Plus: https://plus.google.com/+ harakatizabongo
#SimbaSC#Mgosi#Yanga#Modewji#