@hermansasuri9743منذ 3 سنواتHakika umejibu swali vyema saana ,viongozi wanatakiwa kufanya kazi na sio kukaaa na jina la Magufuri kwenye vinywa vyao ,kazi kubwa kaifanya lakini wanatakiwa id="hidden1" class="buttons"> kujua nyuma yake kuna pia viongozi wa chini waliofanya kazi kubwa japo yeye ni kiongozi hatukatai kafanya mapinduzi makubwa ,lakini viongozi wasibweteke bali wafanye kazi ili hata kiongozi atakaekuja baada ya Magufuri afanye kazi kumshinda mtangulizi wake ,lakini kuanza kuzungumzia swala la muda wa Rais wakati kuna mambo mengi wananchi wanasubiri wafanyiwe kupitia hilo bunge nafikiri ni kukosa kujiamini na kujenga hoja na badala yake watu wanakimbilia muda uongeze wa Rais ,Udhaifu wako ndo utakaokufanya usirudi Bungeni baada ya miaka 5 ,xo what is important is to work only that, we love our president. ....وسعت
@
@ellykibale190منذ 3 سنواتMfumo saa nyingine unachukua mda kuwekwa na pia Kuna suala jingine la muhimu ambalo ni kubadili tabia ya watu, nalo pia huwa linachukua mda. Mfano id="hidden2" class="buttons"> Raisi anavyobadili utamaduni wa watu kupenda kufanya kazi na uwajibikaji maofisini, linahitaji mda na kuliweka sawa mfumo (mfano sheria) saa nyingine unaweza usiwe na tija Bora kuliko mbadili tabia(Raisi) akiwepo kulisimamia. Hivyo Hoja ya kumuongezea Raisi mda inazungumkika, wabunge msiiogope. Mwl Nyerere alipotaka kuachia madaraka,serikali ilijitathmini na kumwomba aongeze mda. Wananchi wakitaka aongezewe mda tuseme kumi zaidi, Cha msingi hapo ni taratibu ufuate. Mda ukifika hoja ipelekwe Bungeni waijadili na ikiwapendeza kubadili,wabadili.katiba siyo msahafu. ....وسعت
@nehemialikatage7378منذ 3 سنواتMtazamo wangu ni huu tusivuruge katiba ya nchi kuwa ajili ya takwa kuwa kifungu cha raisi kuongezewa muda.hapana tusifanye hivyo badala yake tuweke musingi id="hidden3" class="buttons"> bora na isiyo na mashaka ya kumpta mrithi wa jpm.Nina uhakika katika watanzania m,60 hatakosekana mmoja wetu wa kuvaa viatu vya jpm.tujipange na tuweke ktk kumbukumbu yote mazuri atakayoyaacha ili mfuasi wake atembee ktk nyayo zake. ....وسعت1
@
@georgealphonce100منذ 3 سنواتNape,hapo umeonesha ukomavu wa kisiasa, 6
@
@tumainirichard6298منذ 3 سنواتNape unajua kujibu kwa akili Sana. Big up. 10
@
@praisesamson8298منذ 3 سنواتKama umegundua anamaa nisha katiba nzr ndyo tunahitaji na c kumuongezea muda coz hataishi milele ila katiba ata akifa itadumu gonga like kwangu 5
@
@alanusrespicius1796منذ 3 سنواتHili swala la wabunge wageni mbona mnalisema Sana? Kumbukeni ninyi mnaojiita wakongwe ndo wapigaji, wahuni na majizi wakubwa na ndo mmetufikisha huku tuliko. id="hidden4" class="buttons"> Mikataba ya nchi mibovu harafu mnajjita wakongwe. Nendeni huko. Unaona anko Magu alivyobadili kikosi cha mawaziri kaweka hao mnaowaita wageni hawana uzoefu na mambo yanaenda. Nape wewe tunakujua ni mhuni na mpiga dili Kama wengine tu ....وسعت3
@
@sheryphamwenevalley6124منذ 3 سنواتkm Rais miaka 10 awache madaraka na nyinyi pia wabunge wa kudumu mliokaa hapo zaidi ya miaka 10 pia muache atuwezi kuwa na wabunge wa kudumu, na mishahara mikubwa wakati watu wa hali.ya chini wanakufa njaa 2
@
@denismassawe9255منذ 3 سنواتHuyu si ndio yule alimwitaga Rais mshamba akaenda ikulu kutengeneza na Rais !!!????? 2
@mariambeautysonghuseni9549منذ 2 سنواتkwanza hongera kwa kuteuliwa kuwa waziri wa habari hongera sana
@
@happinessmwenda2773منذ 3 سنواتNAPE SIKU ZOTE UWA UKO VIZURI.VIJANA KAMA WEWE BADO NI WACHACHE 3
@
@raydeus8192منذ 3 سنواتSo jamaa alijua dhahili Dar ukiuwa kwa upanga lazima na ww ufe kwa upanga asee. Hakika Mungu atatenda. 1
@
@eischerschwederm7876منذ 3 سنواتSawa mfumo kuwepo lakini speed hii kwa wakati huu ..ikiwa Mwenyezi mungu Kampala thai tunahitaji.. kazi anayoifanya ni IBADA HATUTAKI MWINGINE ZAIDI YA id="hidden6" class="buttons"> MAGU.HATUTAKI..KAMA MZIMA ATAKUWA RAIS..TUTALIANZISHA TU ATAKE ASITAKE.AFROCA NZIMA HAKUNA KAMA MAGU..NDIO RAIS PEKEE AKIONGEA HAKUNA KIBAKA ANABISHA..MAGUFULI TUNAMTAKA WATANZANIA SIO SUALA LA MBUNGE MAGUFULI NI MALI YETU WATANZANIA..MAHUSIANO ....وسعت1
@
@stevenmwaisunga5090منذ 3 سنواتUmeongea kwa hekma japokuwa kuna vibaraka humu wanakupinga 6
@
@ndogoroedson9438منذ 3 سنواتNape uzoefu bila vitendo hakuna kitu! Mnaweza kuwa mmekaa Sana bungeni lakin ni kwa ajili ya matumbo yenu! Kwa upande wangu bunge halina ugeni ili mradi ww ujue kuzisoma kanuni na Sheria za bunge basi huo uzoefu hautusaidii 3
@
@venancemalima1181منذ 3 سنواتUzoefu siyo tija tunahitaji wabunge wanaolenga masilahi ya Wananchi na si vinginevyo.Magu for life kura tumeshamwandalia kitambo. 2
@
@hermanjackson9310منذ 3 سنواتBunge live bila chenga, mambo ya ki ,, 1
@
@nabii-zc1hmمنذ 3 سنواتJAPIPO HOJA YAKO YAKUONGEZA MDA RAISI UNAFELI TUJADILI MAMBO YA MSINGI KWELI NJOMBE HAMNA KITU 1
@
@KS-iw7qvمنذ 3 سنواتMuhimu kuweka mifumo ya kimkakati ya kulinda na kuendeleza aloyatenda jembe JPM. tukilazimisha desturi yetu ya kubadilishana madaraka kwa Upendo tutaitengua. id="hidden8" class="buttons"> Tunamuhiji tumtumie kwa mawazo na fikra zake basi tusimchoshe kama Wa Jirani zetu. U. ....وسعت2
@
@thekingbudah3711منذ 3 سنواتTanzania tunakwenda kama chini tu mpaka wasaau rushwa bado wanapiga debe mpaka miradi hiishe
@
@mnegaamina6085منذ 3 سنواتMi ni ccm lkn naomba iishie hiyo kumi tu
@
@rashidiwaiti6686منذ 3 سنواتNa nuieee hukoo bungenii msituchafueee amakizee miaka yakee basiii nchi ganii Sasa tunakaa Kama wagenii
@
@rashidiwaiti6686منذ 3 سنواتWanaenufaikaa na kofii yetuu ndioo wanalidhiiaakubuluzwaa hukoo mtalindwaa Sanaa mpaka chooniiii
@ananiangonyoka4309منذ 3 سنواتWewe una akili sana Nape tusiwe kama uganda
@
@drpeter3760منذ 3 سنواتSiku iz Nape unajitahidi kukosha watu! Sio bao la mkono tena
@
@lirastanley390منذ 3 سنواتHv leo mkiongeza muda wa rais je baada ya huyu mwingne nae akiona aliyemtangulia aliwah kufanya hvyo unafikir itakuwaje???mwisho wa siku italeta tamaa id="hidden9" class="buttons"> na baadae kuiingiza nchi kwenye machafuko.hongera sana JPM kwa kukataa mpango huo ila kauri ya polepole inanitia shaka kidogo ....وسعت3
@
@bizzboy5490منذ 3 سنواتSio kweli hili Bunge mtachapana Wenyewe ngoja siku zisogee. 1
@
@ibrahimhemedi9079منذ 3 سنواتAkuna mfalme wa Milele mifumo ndio inayotakiwa that good points. 2
@
@rejobu9723منذ 3 سنواتHuyu nae ni kati ya majizi wario jipenyeza kwenye kundi la vipofu 1
@
@hatibumringo5964منذ 3 سنواتNaam! hatuwezi kurudi nyuma badala ya kusonga mbele, muda ukifika asepe.
@
@denismassawe9255منذ 3 سنواتNape uko sawa lakini ndani ya moyo wako sidhani kama uko vzr hata kama Rais mwenyewe angetaka kuongezewa muda sidhani kama wewe ungekubali maana si unakumbuka wenyewe ile issue ya wewe kumwita mshamba kipindi kileee!!!! 2
@learningkiswahili5daysstre367منذ 3 سنواتNape mpigaji kama wapigaji wengine yeye na rafiki yake January .walifikili nchi ya babazao mimi kama kijana sina himani nao 15
@
@happinessmwenda2773منذ 3 سنواتHATA MIMI NATAKA MIFUMO IWEKWE KTK KATIBA KAZI ALIYOIFANYA RAIS NI KUBWA ATAFURAHI ZAIDI AKIONA YANAENDELEZWA WAKATI YUKO PEMBENI
@
@allymsuya6655منذ 3 سنواتCCM sijui wakoje? Sisi tusio wanasiasa tunaona ndani ya chama chao chenyewe kuna watu wengi tu wanaoweza kufanya mambo makubwa na kwa mitindo salama zaidi id="hidden11" class="buttons"> kuliko hivi anavyofanya Magufuli, lakini wao wanabaki kusema Magufuli Magufuli. ....وسعت1
@
@hekimatakatifu8463منذ 3 سنواتNibora muamuae nyie kulingana na matakwa ya katiba ila akiamua Mungu kuanzia nyie adi uyo mnae sema aongezewe muda mtajuta maana mkono wa Mungu utakua juu yenu
@
@erestizacharia4758منذ 3 سنواتWanaodai rais kuongezewa mda hawana akili za kujitegemea, Cha muhimu urais Tanzania ufanywe Kama Taasisi atakayemrithi magu ayaendeleze miradi itakayo id="hidden13" class="buttons"> shindikana kumaliziwa awamu hii, nje na hapo tutasababisha tamaa kwa viongozi watakaokuja baada ya rais magu. ....وسعت
@harunimfaume6280منذ 3 سنواتNakuona rais mtarajiwa naiman na ww nape utaikombomboa kusini 2
@
@matthiasmageni6893منذ 3 سنواتMisingi huwa inabomolewa tu cha msingi aongezewe muda lakini apunguze Kodi au aondoe kabisa kwa wafanyabiashara wadogowadogo maana biashara zinakufa Sana. 3
@
@mohamedhaji2200منذ 3 سنواتMisingi bila mtu ni zero. Kwani misingi haipo? Tokea 1964 misingi imeekwa. Individual behavior ina mater sana. Aongezeww
@
@muhammedimandai9671منذ 3 سنواتWasukuma wote wanataka magufuli aendelee mpaka mwisho wa maisha yake
@
@harunimfaume6280منذ 3 سنواتMuheshimiwa nape vp kuhusu kuzifua fua meri za kwenda mtwara au kununua meri mpyaaa au japo mpelekee treni mtwara lindi masasi
@
@kakorejrboyz6447منذ 3 سنواتSafi Sana Nape Misingi ndio hatuna swala sio mtu swala ni Misingi ya kulinda vyaketu kwasababu tukisema mtu Tanzania Katiba yetu haisemi mfumo wa kifalume id="hidden15" class="buttons"> kuwa kiongozi mpaka aage dunia ni mfumo wa demokrasia so Misingi ndio iwekwe na Katiba iheshimiwe ....وسعت2
@
@msangazimsangazipapaandomb8761منذ 3 سنواتUPUMBAVU MTUPU. HUYU NI MIUNGONI MWA WALIOPORA JIMBO KWA KUJIFANYA KAPITA BILA KUPINGWA MBWA HUYU! ANAJIPENDEKEZA APATE UTEUZI. RUBBISH GAY! 1
@
@abuumkumbalu9123منذ 3 سنواتMawazo ya huyu jamaa na ya kwangu yana fanana swala sio kuongeza muda swala inabidi tuweke mifumo mizuri kwa kizazi na kizazi
@
@thekingbudah3711منذ 3 سنواتNape kashapinga ujenzi wa bwawa la umeme jurias nyerere mpaka mapovu yanamtoka alipewa pesa akawa anawafanyia kazi wazungu waenderea kupiga dili 5
مقاطع الفيديو ذات الصلة على NAPE AKATAA KATA: TUTABAKI NA MAGUFULI MPAKA LINI/MLE NDANI KUNA MAMBO/WABUNGE HAWANA UZOEFU:
Mfano id="hidden2" class="buttons"> Raisi anavyobadili utamaduni wa watu kupenda kufanya kazi na uwajibikaji maofisini, linahitaji mda na kuliweka sawa mfumo (mfano sheria) saa nyingine unaweza usiwe na tija Bora kuliko mbadili tabia(Raisi) akiwepo kulisimamia.
Hivyo Hoja ya kumuongezea Raisi mda inazungumkika, wabunge msiiogope.
Mwl Nyerere alipotaka kuachia madaraka,serikali ilijitathmini na kumwomba aongeze mda.
Wananchi wakitaka aongezewe mda tuseme kumi zaidi, Cha msingi hapo ni taratibu ufuate. Mda ukifika hoja ipelekwe Bungeni waijadili na ikiwapendeza kubadili,wabadili.katiba siyo msahafu. ....وسعت
Hakika Mungu atatenda. 1
Wenyewe ngoja siku zisogee. 1