المدة الزمنية 7:44

ALAMA ZA ZANZIBAR: Balozi za Kigeni kabla ya mwaka 1900

بواسطة Gumzo la Ghassani
8 321 مشاهدة
0
58
تم نشره في 2021/06/09

Zanzibar ilianza kuwa taifa linalotambuliwa na mataifa makubwa ya kigeni kabla ya mwaka 1900. Ushahidi ni kuwepo kwa balozi za mataifa hayo kwenye ardhi ya Zanzibar, zikiwemo Marekani, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani. Msikilize Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Bwana Othman Masoud Othman.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 48