المدة الزمنية 2:2

Fatma Nyangasa: Nakuja Kigamboni kuchapa kazi

بواسطة DW Kiswahili
2 608 مشاهدة
0
7
تم نشره في 2021/06/23

Baada ya kuapishwa rasmi kuchukua wadhifa wa Mkuu ya Wilaya ya Kigamboni, aliyekuwa mtangazaji maarufu wa Azam Media Fatma Almasi Nyangasa amesema uteuzi wake na waandishi wengine unadhihirisha kuwa wanahabari wanaweza. Kwa wakaazi wa Kigamboni, anasema - ''nakuja kuchapa kazi:'' #Kurunzi

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2