Khutba ya Ijumaa uliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Sunnah Kikwajuni Visiwani Zanzibar Tanzania Tarehe 10/06/ 2011 . Nasaha za Sheikh Bachu Baada ya khutba. ni nasaha gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.