@zeddybass6672منذ 4 سنواتVya kuiba vinakuaga vitam .Ila mwisho wa siku uchungu mwingi
@
@abdulrahmanhassan9254منذ 4 سنواتDah huyu dogo ana roho ngumu kweli, umeonywa mara 3 isitoshe ni mganga lakini ulikataa kusitisha mahusiano na mkee wake dah 7
@
@chidiomari.65منذ 4 سنواتDuh uyo dogo Ni balaa kuonywa kote huko lakin bado. 1
@
@munnawwary757منذ 4 سنواتMackin Baba wa wat mtu na haki yake anaomba msamaha Kwa kuharb stareh za watu .pole san hayo ndio madhara ya zinaa turud Kwa mung 2
@
@kiri5807منذ 3 سنواتhuyu alikuwa hataki kujituma akaamua kulelewa na wake za watu.
@
@florachuwa301منذ 4 سنواتMwenye mume alikua kweli na busara.. mstahamilifu.na mwema..ila we mwanakuyataka ulishupaa shingo kwa ujeuri 1
@
@babarahmababarahma60منذ 4 سنواتMata utanilipa kiasi gani kwa maana hata mm nina story yangu nataka niiweke mbele ya kioo upige pesa
@
@aishachambo3293منذ 4 سنواتWanaume wanaopenda wake za watu mwishi wake lazima wafumuliwe marinda 1
@
@alifujo4153منذ 4 سنواتHuyu kama ni mm ningemuulia mbali mara zote nakukataza uwachane na mke wangu waniletea usainii.interview usingeifanya hii
@
@youngyayoo2805منذ 4 سنواتWewe ni fala sana,sijawai ona mwenzako bro
@
@ayshamahariq6665منذ 4 سنواتShkuran sana bro Davistar watuelimisha ila huyo jamaa nae aache 1
@
@salmasoso9839منذ 4 سنواتFrom oman free Wi-Fi davistar hii ya leo to much but tunajifunza 15
@
@hajiabdalla5772منذ 4 سنواتHao wengine waongo mana huo urefu kumpita punda kawaida ukiwa mzinifu huwa huna haya wala aibu unakuwa kama mnyama kwa lana .na hao watu wapole na wakimnya na wastaarab bas ni hatar waogope watu hao 2
@
@ibrahimrukundo3064منذ 4 سنواتhata namimi sipendi ugonvi naweza pitia hatuwa za maongezi kwanza kama alivyo fanya huyo mpemba. 1
@
@africandarling6925منذ 4 سنواتEee we Duuu ulikuwa mkaidi wewe kijana duuuuulikuwa unatari kweli mmhhh 2
@
@gharibislam1586منذ 4 سنواتJe ingekuwa ni mamako mtu anatembea nae ungesikia Raha?kama si mke wako ama watoto wako ama mamako iko siku utakuja fanyiwa
@
@rashidjuma144منذ 4 سنواتKijana kijana️️️ Bora utafune pilipili kuliko mke wa mtu 1
@
@zingahassan5851منذ 4 سنواتNICE WORK BRO MATA. TO FELLOW MAN LET US STYLE UP. 1
@
@gosbertmuta5421منذ 3 سنواتIla davstar una macho mazr Sana, Yani ulivo hv ungekutana na mm ningekushauri kitu maana unalipa na unafaa kupgia pesa haya macho
@
@avierastevens5141منذ 4 سنواتKama kwako unajiachia tu. Mwingine hapo mngebadilishana majengo ya hospital. Mmoja kisutu na mwingine mwananyamala mochwari.
@
@ahshbsbx2991منذ 4 سنواتMbona hii sautii naijua uitwii alli wee ujawahii Kuja omanii kwelii mbona Kam nakupat broo
@
@elizabethtindwa7216منذ 4 سنواتLoooooooo!! Dm una mambo, eti mstaafu!!!
@
@loner_wolfمنذ 4 سنواتUkisikia mpemba katajwa ujue baadae kunamovie TU
@
@ayshamahariq6665منذ 4 سنواتLeo nmewa mchana braza Davistar nasubr Part 2 kwa ham
@
@demitrahawkins5457منذ 4 سنواتMara ya kwanza..ya pili..ya tatu! You should have known that the danger involved would have been deadly! 9
@
@annajoseph9955منذ 4 سنواتWanawake sie nao dah umeolewa lakn unachepuka tena unamleta mwanaume kwa kitanda cha mumeo loooh uzinzi mwingine sio poa 10
@
@barbranabakooza9589منذ 4 سنواتDuuh dgo kauzu huyu hhhhhhhh weee unadili na wake za watu tu wakati videmu viko kibao duuh mpaka kwa shekher wa utabibu
@
@wazirimohammad7787منذ 4 سنواتStaili yako kijana ungetafuta wako wahalali yasingekupata hata sikupi pole nawengine wachukue funzo
@
@hamidaalhabsi8568منذ 4 سنواتAAAAAA AMAKWELI ULIJIAMINI SANA MTIHANI JAMANI WANAWAKE MLIO OLEWA KWA NINI HAMRIZIKI NA WAUME ZENU KUDANGA KUNAFAIDA GANI
@
@allykutenga2862منذ 4 سنواتsasa kimeendelea nn?? coz inaonekana kama kuna ki2 kitaendelea cjui talaka lkn ndo afanye yameisha tu!!. 2
@
@saeedmugandja4187منذ 4 سنواتHahahaaa mtangazaji na wewe noma yani sasa ni mstaafu
@
@maxjofrey8298منذ 4 سنواتYani nibora angekuhuwa we mkeanaumanyie yani mi naghalamia alafu mtu ajekilahis tu haisee jela hinanihusu kwakweli.
@
@allycarzola9025منذ 4 سنواتBro uwe unazipandisha zote kwa pamoja Kama vp 1
@
@saidjuma25منذ 4 سنواتMademu wote walio jaaa unajifanya kidume mpaka utembee na wake zawatu
@
@SamsungA-su2qjمنذ 4 سنواتEndelea kuchezea wapemba uone kitu kitokukuta
@
@joyanambuya3695منذ 4 سنواتNa ss wanawake tujifunze ushaolewa kwanini utulii na ndoa yako wahitaji kimada tuache jamani haya mambo
مقاطع الفيديو ذات الصلة على PART1KIJANA ANAETEMBEA NA WAKE ZA WATU YAMKUTA MAKUBWA/AKANIROGA UUME UKAWA MREFU KUFIKA MIGUUNI:
Kazi nzuri DM 3