المدة الزمنية 8:5

KILIMO BORA CHA MIHOGO (CASSAVA) NA SOKO LAKE.Tajirika leo kwa kulima mihogo

بواسطة Shamba Darasa TV
2 405 مشاهدة
0
16
تم نشره في 2021/04/11

kilimo cha mihogo na soko lake bei ya gunia la mihogo kilimo cha muhogo kisarawe kilimo cha mihogo jamii forum gharama za kilimo cha mihogo kilimo cha mihogo tanga kilimo cha mahindi kilimo cha maharage KILIMO BORA CHA MIHOGO Zao la muhogo ni muhimu sana kwa Tanzania zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini. Wakulima wengi huchanganya zao la muhogo na mazao mengine kama vile kunde, mbaazi, njugumawe, n.k. Umuhimu wa zao hili ni kutupatia cahakula na wakati mwingine kwa biashara. Kwa kanda ya kusini muhogo ni chakula kikuu ambacho kinachukua asilimia 75 ya chakula kwa maeneo yote ya mikoa ya pwani Muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo kwenye maeneo ya mita 0 – 1500 kutoka usawa wa bahari. Vile vile muhogo hustawi vizuri kwenye maeneo yanayopata mvua ya wastani wa mm 750 – mm1200 kwa mwaka. Muhogo hustawi vizuri kwenye ardhi ya kichanga. Vili vile zao la muhogo ni maarufu sana kwa uvumilivu wa hali ya ukame. TEKNOLOJIA ZILIZOPO Mbegu bora za muhogo Mpaka sasa hivi kuna aina mbili za mbegu bora ambazo zimathibitishwa kwa wakulima. Mbegu hizi huvumilia magonjwa, (batobato na matekenya), pia huzaa sana ukilinganisha na mbegu za kienyeji. #mkulimasmart #shambadarasa

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 9