Siri ya Hasira ni pamoja utawala wa ukimwa kwa muda ambao ulipaswa kutoa majibu ya jambo lililokukasirisha,
Hii ni Fursa hadimu ambayo waamini wa Jimbo kuu la Dar Es Salaam wameipata kupitia mafundisho maalumu ya Wiki ya Neema yanayoendelea katika parokia ya Mtakatifu Kizito Kilongawima Ambapo zaidi ya Mapadre 15 kutoka majimbo mbalimbali ya Tanzania wamefika parokiani hapo kwa ajili ya kuwashirikisha waamini Mang'amuzi yao.
Pongezi nyingi kwake Padre Romwald Mukandala ndiye Paroko wa Parokia hiyo akishirikiana na Uongozi wa Halmashauri walei kwa kuwezesha Mafundisho haya Ambayo yatahitimishwa tarehe 15/11/2021
#BreezOnlineTv #Kilongawima
Breez Online Tv
S.L.P 38655
Dar Es Salaam Tanzania
Phone No: +255 756494796
Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: breez online Tv
Facebook Link: https://www.facebook.com/Breez-Online ...
Instagram:Breez Online Tv