المدة الزمنية 2:54

Wizi wa mabavu katika duka la Mpesa eneo la Kinoo

بواسطة KTN News Kenya
674 224 مشاهدة
0
1.4 K
تم نشره في 2016/06/11

Je mtazamaji umewahi kushuhudia wizi wa mabavu? Hilo lilitokea katika eneo la Kinoo ambako mali ya takriban shilingi laki tatu unusu iliibwa katika duka la Mpesa huko Kinoo wezi wakinaswa na kamera za CCTV. Mwanahabari wetu Hussein Mohamed anatupa taarifa hiyo kwa kina. Watch KTN Live http://www.ktnnews.com/live Watch KTN News http://www.ktnnews.com Follow us on http://www.twitter.com/ktnnews Like us on http://www.facebook.com/ktnnews

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 58