المدة الزمنية 4:6

DKT MPANGO ATOA TAARIFA MAKUSANYO KODI YA MAJENGO SH BILIONI 32 5

بواسطة Benny Mwaipaja
372 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2017/07/22

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), amesema kuwa Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh bilioni 32.5 ya kodi ya majengo, kwa mwaka wa fedha 2016/17 kutoka katika Majiji, Miji na Manispaa 30 nchini

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1