المدة الزمنية 1:29

WANAHAMIAJI HARAMU 51 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA WILAYANI BAGAMOYO

بواسطة GSengo
223 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2020/03/20

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa alisema, wahamiaji hao wamekutwa katika pori wakiwa katika harakati za kutafuta usafiri kuelekea Mikoa ya Nyanda za juu Kusini ili waweze kuendelea na safari yao hadi Afrika Kusini. Kawawa lisema, Wahamiaji hao walikuwa wanaotokea nchini Ethiopia, ambao katika mahojiano ya awali walikiri kuingia Nchini kwa kupitia Pwani ya Bagamoyo, wakitumia majahazi. Alisema, Wahamiaji hao walichukuliwa hadi katika kituo cha Afya Matimbwa (Bagamoyo) ili kupimwa kama Wana maambukizi ya Virusi vya Corona. Kituo hicho kilichotengwa na Halmashauri kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa Corona wanaoweza kujitokeza siku za usoni, .

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0