Lillian Mwasha amerejea tena kwenye #WomenMatters na awamu hii amejikita katika changamoto wanazopata watoto. Jopo lake linaundwa na Dr Eliud Esseko, Elizabeth Mleli, Sister Winnie na Babysky. Kwenye sehemu hii ya kwanza, wanazungumzia kisa cha mwanafunzi wa kike ambaye ametembea na babu yake kwa miaka 6 na ametoa mimba zake mbili