TBC: UJENZI RELI YA KISASA WAFIKIA PATAMU
Katika juhudi za serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano kuboresha miundombinu ya usafiri wa ardhi, shirika la reli limejipanga vilivyo kuhakikisha ujenzi wa reli unaenda kwa kasi inayotakiwa.
Akizingumzia mpango mkakati wakufika malengo hayo Eng. Masanja Machibya meneja mradi wa reli ya kisasa, amebainisha wazi namna shirika lilivyojipanga. shirika hilo la reli limejigawa katika kambi tatu ili kwenda kwa kasi na kurahisha ujenzi huo.
kambi hizo ni ilala inayoshugulikia kilometa 0-20, soga km 20 mpaka 80 na ngerengere km 80 mpaka km 205.
#Relikisasa #ujenzireli
Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
aceBook: www.facebook.com/globalpublishers
Instagram: www.instagram.com/globalpublishers
Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV
Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho