SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson amesema akiwa kama mwakilishi wa wananchi wa Jimbo la Mbeya Mjini amesikia maneno mengo yakitokea katika jiji hilo yanayopinga uwekezaji wa Bandari na kusisitiza kuwa wananchi wanataka uwekezaji huo
#tanzania #dpworld #dpworldtanzania #sakatalabandari #wakilimwabukusi #spikatuliaackson #raissamialeo #uwekezajiwabandari #spikatuliaamjibuwakilimwabukusi
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 7
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SPIKA TULIA: MIMI NDIYE MWAKILISHI WA WANANCHI MBEYA, TUNATAKA UWEKEZAJI WA BANDARI: