Ni katika ibada ya mkutano wa kanda ya kati - Kanisa la PHAMT Usharika wa Vilundilo wilaya ya Kongwa mkoa wa Dodoma.
Tar: 06-11/07/2021
Katika mkutano huo askofu Julius Bundala ambaye ni Katibu Mkuu Msaidizi wa Kanisa Kitaifa alifundisha somo la Mipaka ya Uongozi, Nidhamu na Utii katika kanisa.
Karibu sana usikilize somo hilo.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Bishop Julius Bundala. “Mipaka ya Uongozi, Nidhamu na Utii”. @PHAMT Vilundilo - Kongwa DOM :