المدة الزمنية 15:00

Kanisa La Kweli Kulingana Na Bibilia - Sehemu 1

بواسطة IDHAA YA UKWELI
18 609 مشاهدة
0
184
تم نشره في 2014/11/10

Jinsi tunaweza kuitambua Kanisa la Mungu kulingana na mafundisho ya Biblia. Si siri kwamba kuna makanisa mengi sana duniani na yote yanadai kuwa Kanisa la kweli la Mungu ingawa bado mafundisho yao ni tofauti sana na hayalingani na mafundisho ya Biblia. Je, tuna uwezo wa kuipata na kuijua Kanisa la kweli la Mungu?

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 30