المدة الزمنية 700

Katika uteuzi wa Rais wa Mawaziri Dr Doroth Gwajima Ataendelea na Uwaziri wa Afya

بواسطة YD TV
110 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/03/31

Rais Mh Samia Suluhu Hasan Ameteua baadhi ya mawaziri Siku ya leo ambapo waziri wa Afya atabaki kwenye nafasi yake ya uwaziri pamoja na naibu wake pia katika uteuzi huu wa Leo tumeona Ummy Mwalim akiteuliwa kuwa waziri wa Tamisemi kushika nafasi ya mh Jafo ambaye alikuwa katika sekta hiyo Mawazili wengi wameteuliwa ikiwemo waziri wa fedha mh Mwigulu Nchemba subscribe channel hii kupata update zote za siasa Asante

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0