@namirihamisi3899منذ 3 سنواتSwebe Ubungo na Baruti mbona karibu au umehama?? 1
@
@yusrasalumمنذ 3 سنواتDina waulize na mishahara yao wawe wanalipa vizuri sio ukae na dada miaka kumi unamlipa kwa mwez elfu 20 wakiondoka hawana kitu 1
@
@floramlowe7078منذ 3 سنواتKweli sikuhizi tumekalili ukiona rafiki wa kike na kiume ujue kuna jambo lkn mi naona niushamba na inawezekana tu.
@
@mamunote3507منذ 3 سنواتMM ni me leave mwenyewe watt Wangu na huku ninakorofisha kazi zangu binafsi
@naidasuleyman6005منذ 3 سنواتLol kumbuka kanishinda tabia kwa kwelii mashavuu makubwaa kwa kupuliza motoo mhhjh
@
@dothosalum5098منذ 3 سنواتMmenichekesha hapo mashetwani, hiyo ndio Stahili ya ughaibuni. Ukichoka job unaamsha mashetwani ya kihind kiarabu kizungu kiswahili tickets fasta 1
@
@zeinababdi4757منذ 3 سنواتWanawake huko bongo wanajidekeza, mbona wengine tunafanya kazi nje ya nyumba na bado tunalea bila hao wadada wa kazi.pls
@
@aishaally2730منذ 3 سنواتWamama wa leo labda huko tz sie wanje mtu unabeba mimba na unawatt nakazi zote za nyumba unafanya alhamdulilah watt wanakuwa na tunazaa mpaka watt sita
مقاطع الفيديو ذات الصلة على PISHI LA SUPER DADA LAFANYA SWEBBE NA DR KUMBUKA WAMPE NAFASI: