Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala bora Mh. Haroun Ali Suleiman amesema uimara wa kamati za kuchunguza na kudhibiti hesabu za Serikali (PAC) na LAAC za Baraza la wawakilishi umeisaidia Serikali kuweka nidhamu ya matumizi ya fedha na kuhakikisha zinatumika kama zilivyoainishwa.
#zbctvonline#zbczanzibar.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SEMINA ELEKEZI KWA KAMATI ZA KUDUMU ZA PAC NA LAAC: