المدة الزمنية 48:52

Ahadi LSN.4 Agano la Milele

بواسطة Hope Channel Kenya
296 مشاهدة
0
4
تم نشره في 2021/04/24

Walakini, kukwepa kwetu majina fulani kunaonyesha kuwa tunatilia maanani kinachohusishwa na jina. Waebrania waliwapa watoto wao majina kulingana na maana, badala ya sauti au muonekano wa jina. Wiki hii tunazingatia majina na agano ambalo Mungu anataka kuingia nasi. Hebu tuzame kwenye somo letu!

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0