المدة الزمنية 1:16

Majaji saba wa mahakama ya rufaa wateuliwa kusikiza kesi ya BBI

بواسطة Citizen TV Kenya
2 433 مشاهدة
0
11
تم نشره في 2021/06/24

Majaji saba wa mahakama ya rufaa wateuliwa kusikiza kesi ya BBI Majaji hao ni Daniel Musinga, Roselyne Nambuye, Hannah Okwengu Pia Patrick Kiage, Gatembu Kairu, Fatuma Sichale na Francis Tuyoitt Kesi hiyo ya BBI itaanza kusikilizwa Jumanne wiki ijayo

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1