المدة الزمنية 2:44

UMEONDOKA MSAFARA WA WATU 44, MECHI TUNASIKIA AS VITA WANATAKA KUBADILISHA MUDA

بواسطة Millard Ayo
45 433 مشاهدة
0
185
تم نشره في 2021/02/09

Kikosi cha Simba SC kimeondoka Leo nchini kuelekea Congo DR kuanza safari yake ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Ijumaa ya February 12, kuelekea mchezo huo afisa habari wa Simba SC Haji Manara ambaye ni sehemu ya msafara hue aliongea na Waandishi wa Habaria pia.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 57