المدة الزمنية 2:4

Ibada ya waumini wa imani ya Rasta

بواسطة DW Kiswahili
67 133 مشاهدة
0
462
تم نشره في 2018/02/16

Waumini wa imani ya Rasta hufanya ibada yao kila Jumamosi ambapo baada ya hapo hukusanya sadaka ikiwemo pesa, chakula na mavazi na kisha kuwapelekea watu wenye shida. Mwandishi wetu kutoka Mwanza, Tanzania Dotto Bulendu ametuandalia video fupi baada ya kuwatembelea Marasta wakati wakiendesha ibada yao kwenye bustani ya Lalibela, wilayani Nyamagana. Papo kwa Papo 16.02.2018

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 96