المدة الزمنية 4:13

OBAMA ATALII MBUGA ZA SERENGETI, AVUTIWA NA UTALII

بواسطة Mwananchi Digital
47 793 مشاهدة
0
110
تم نشره في 2018/07/15

Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ameeleza kuridhishwa na vivutio vya Utalii katika hifadhi ya taifa Serengeti. Akizungumza na waandishi wa habari, Mara baada ya kufanya mazungumzo ya faragha na Obama, Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kikanda, balozi Dk Augustine Mahiga amesema, Obama ameeleza kuvutiwa sana na Serengeti

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 46